Zekaria 5 : 4 Zechariah chapter 5 verse 4

Swahili English Translation

Zekaria 5:4

Nitaituma itokee, asema Bwana wa majeshi, nayo itaingia katika nyumba ya mwivi, na katika nyumba yake yeye aapaye kwa uongo kwa jina langu; nayo itakaa katikati ya nyumba yake, na kuiteketeza, pamoja na boriti zake na mawe yake.
soma Mlango wa 5

Zechariah 5:4

I will cause it to go out," says Yahweh of Hosts, "and it will enter into the house of the thief, and into the house of him who swears falsely by my name; and it will remain in the midst of his house, and will destroy it with its timber and its stones."