Zekaria 12 : 4 Zechariah chapter 12 verse 4
Swahili | English Translation |
---|---|
Zekaria 12:4
Katika siku hiyo, asema Bwana, nitamtia kila farasi ushangao, na yeye ampandaye nitamtia wazimu; nami nitaifunulia nyumba ya Yuda macho yangu, nami nitamtia upofu kila farasi wa hizo kabila za watu.
|
Zechariah 12:4In that day," says Yahweh, "I will strike every horse with terror, and his rider with madness; and I will open my eyes on the house of Judah, and will strike every horse of the peoples with blindness. |