Ruthu 2 : 14 Ruth chapter 2 verse 14

Swahili English Translation

Ruthu 2:14

Tena wakati wa chakula huyo Boazi akamwambia, Karibu kwetu, ule katika mkate wetu, na ulichovye tonge lako katika siki yetu. Basi akaketi pamoja na wavunaji, nao wakampitishia bisi, naye akala akashiba, hata akasaza.
soma Mlango wa 2

Ruth 2:14

At meal-time Boaz said to her, Come here, and eat of the bread, and dip your morsel in the vinegar. She sat beside the reapers, and they reached her parched grain, and she ate, and was sufficed, and left of it.