Hesabu 28 : 12 Numbers chapter 28 verse 12

Swahili English Translation

Hesabu 28:12

pamoja na sehemu ya kumi tatu za efa za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, kwa kila ng'ombe; na sehemu ya kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, kwa huyo kondoo mume mmoja;
soma Mlango wa 28

Numbers 28:12

and three tenth parts [of an ephah] of fine flour for a meal-offering, mixed with oil, for each bull; and two tenth parts of fine flour for a meal-offering, mixed with oil, for the one ram;