Nehemia 10 : 38 Nehemiah chapter 10 verse 38

Swahili English Translation

Nehemia 10:38

Naye kuhani, mwana wa Haruni, atakuwako pamoja na Walawi, watwaapo zaka Walawi; nao Walawi wataipandisha zaka ya hizo zaka nyumbani kwa Mungu wetu, vyumbani, katika nyumba ya hazina.
soma Mlango wa 10

Nehemiah 10:38

The priest the son of Aaron shall be with the Levites, when the Levites take tithes: and the Levites shall bring up the tithe of the tithes to the house of our God, to the chambers, into the treasure-house.