Mambo ya Walawi 8 : 29 Leviticus chapter 8 verse 29

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 8:29

Kisha Musa akakitwaa kile kidari, akakitikisa huku na huku, kiwe sadaka ya kutikiswa mbele za Bwana; ni sehemu ya Musa katika huyo kondoo mume wa kuwaweka wakfu; kama Bwana alivyomwagiza Musa.
soma Mlango wa 8

Leviticus 8:29

Moses took the breast, and waved it for a wave offering before Yahweh. It was Moses' portion of the ram of consecration, as Yahweh commanded Moses.