Mambo ya Walawi 8 : 21 Leviticus chapter 8 verse 21

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 8:21

Kisha akayaosha matumbo na miguu yake kwa maji; na Musa akamteketeza huyo kondoo wote juu ya madhabahu; ilikuwa ni sadaka ya kuteketezwa kuwa harufu ya kupendeza; ilikuwa ni sadaka iliyosongezwa kwa Bwana kwa njia ya moto; kama Bwana alivyomwagiza Musa.
soma Mlango wa 8

Leviticus 8:21

He washed the innards and the legs with water; and Moses burned the whole ram on the altar. It was a burnt offering for a sweet savor. It was an offering made by fire to Yahweh; as Yahweh commanded Moses.