Mambo ya Walawi 4 : 3 Leviticus chapter 4 verse 3

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 4:3

kama kuhani aliyetiwa mafuta akifanya dhambi, hata analeta hatia juu ya watu; ndipo na atoe kwa ajili ya dhambi yake aliyoifanya, na kumsongeza kwa Bwana ng'ombe mume mchanga mkamilifu, kuwa ni sadaka ya dhambi.
soma Mlango wa 4

Leviticus 4:3

if the anointed priest sins so as to bring guilt on the people, then let him offer for his sin, which he has sinned, a young bull without blemish to Yahweh for a sin offering.