Mambo ya Walawi 25 : 46 Leviticus chapter 25 verse 46
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 25:46
Nanyi mtawafanya kuwa urithi kwa watoto wenu baada yenu, wawe milki yao; siku zote mtatwaa watumwa wenu katika hao; lakini msitawale kwa nguvu juu ya ndugu zenu, hao wana wa Israeli, wenyewe kwa wenyewe.
|
Leviticus 25:46You may make them an inheritance for your children after you, to hold for a possession; of them may you take your slaves forever: but over your brothers the children of Israel you shall not rule, one over another, with harshness. |