Mambo ya Walawi 25 : 30 Leviticus chapter 25 verse 30

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 25:30

Na kama haikukombolewa katika muda wa mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyo ndani ya mji wenye kuta itathibitishwa milele kuwa ya huyo aliyeinunua, katika vizazi vyake; nayo haitatoka katika yubile.
soma Mlango wa 25

Leviticus 25:30

If it isn't redeemed within the space of a full year, then the house that is in the walled city shall be made sure in perpetuity to him who bought it, throughout his generations. It shall not be released in the Jubilee.