Mambo ya Walawi 24 : 9 Leviticus chapter 24 verse 9

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 24:9

Nayo itakuwa ya Haruni na wanawe; nao wataila katika mahali patakatifu; kwa sababu kwake ni takatifu sana katika sadaka zisongezwazo kwa Bwana kwa moto, kwa amri ya milele.
soma Mlango wa 24

Leviticus 24:9

It shall be for Aaron and his sons; and they shall eat it in a holy place: for it is most holy to him of the offerings of Yahweh made by fire by a perpetual statute."