Mambo ya Walawi 2 : 9 Leviticus chapter 2 verse 9

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 2:9

Kisha kuhani atatwaa humo huo ukumbusho wa sadaka ya unga, naye atauteketeza juu ya madhabahu; ni kafara ya kusongezwa kwa njia ya moto, ya harufu ya kupendeza kwa Bwana.
soma Mlango wa 2

Leviticus 2:9

The priest shall take from the meal offering its memorial, and shall burn it on the altar, an offering made by fire, of a sweet savor to Yahweh.