Mambo ya Walawi 2 : 9 Leviticus chapter 2 verse 9
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 2:9
Kisha kuhani atatwaa humo huo ukumbusho wa sadaka ya unga, naye atauteketeza juu ya madhabahu; ni kafara ya kusongezwa kwa njia ya moto, ya harufu ya kupendeza kwa Bwana.
|
Leviticus 2:9The priest shall take from the meal offering its memorial, and shall burn it on the altar, an offering made by fire, of a sweet savor to Yahweh. |