Mambo ya Walawi 11 : 34 Leviticus chapter 11 verse 34

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 11:34

Kila chakula kilichomo, ambacho ni kuliwa, hicho ambacho maji hutumiwa juu yake, kitakuwa ni najisi; na kila kinyweo ambacho ni cha kunywewa, kilichomo katika chombo kama hicho, kitakuwa ni najisi.
soma Mlango wa 11

Leviticus 11:34

All food which may be eaten, that on which water comes, shall be unclean; and all drink that may be drunk in every such vessel shall be unclean.