Mambo ya Walawi 1 : 9 Leviticus chapter 1 verse 9

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 1:9

lakini matumbo yake, na miguu yake, ataiosha kwa maji; na huyo kuhani ataviteketeza vyote juu ya madhabahu, ili iwe sadaka ya kuteketezwa, dhabihu ya kusongezwa kwa njia ya moto, ya harufu ya kupendeza kwa Bwana.
soma Mlango wa 1

Leviticus 1:9

but its innards and its legs he shall wash with water. The priest shall burn the whole on the altar, for a burnt offering, an offering made by fire, of a sweet savor to Yahweh.