Mambo ya Walawi 1 : 13 Leviticus chapter 1 verse 13

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 1:13

lakini matumbo yake, na miguu yake, ataosha kwa maji; na huyo kuhani atavisongeza vyote na kuviteketeza juu ya madhabahu; ni sadaka ya kuteketezwa, dhabihu ya kusongezwa kwa njia ya moto, ya harufu ya kupendeza kwa Bwana.
soma Mlango wa 1

Leviticus 1:13

but the innards and the legs he shall wash with water. The priest shall offer the whole, and burn it on the altar. It is a burnt offering, an offering made by fire, of a sweet savor to Yahweh.