Waamuzi 3 : 16 Judges chapter 3 verse 16

Swahili English Translation

Waamuzi 3:16

Ehudi alijifanyia upanga uliokuwa na makali kuwili, urefu wake ulipata dhiraa moja; akaufunga huo upanga ndani ya nguo yake katika paja lake la mkono wa kuume.
soma Mlango wa 3

Judges 3:16

Ehud made him a sword which had two edges, a cubit in length; and he girded it under his clothing on his right thigh.