Waamuzi 15 : 19 Judges chapter 15 verse 19

Swahili English Translation

Waamuzi 15:19

Lakini Mungu akapasua mahali penye shimo palipo katika Lehi, pakatoka maji; naye alipokwisha kunywa, roho yake ikamrudia, akaburudika; kwa hiyo jina la mahali pale likaitwa Enhakore, napo pa katika Lehi hata hivi leo.
soma Mlango wa 15

Judges 15:19

But God split the hollow place that is in Lehi, and water came out of it. When he had drunk, his spirit came again, and he revived: therefore the name of it was called En Hakkore, which is in Lehi, to this day.