Waamuzi 15 : 1 Judges chapter 15 verse 1

Swahili English Translation

Waamuzi 15:1

Lakini ikawa baadaye, wakati wa mavuno ya ngano Samsoni akaenda kumtazama mkewe, akamchukulia mwana-mbuzi; akasema, Nitaingia chumbani kwa mke wangu. Lakini baba yake mwanamke hakumwacha kuingia.
soma Mlango wa 15

Judges 15:1

But it happened after a while, in the time of wheat harvest, that Samson visited his wife with a kid; and he said, I will go in to my wife into the chamber. But her father wouldn't allow him to go in.