Yoshua 22 : 19 Joshua chapter 22 verse 19

Swahili English Translation

Yoshua 22:19

Basi kwamba hiyo nchi ya milki yenu si tohara, ndipo ninyi vukeni na kuingia nchi ya milki yake Bwana, ambayo maskani ya Bwana inakaa ndani yake, nanyi twaeni milki kati yetu; lakini msimwasi Bwana, wala msituasi sisi, kwa kujijengea madhabahu zaidi ya hiyo madhabahu ya Bwana, Mungu wetu.
soma Mlango wa 22

Joshua 22:19

However, if the land of your possession be unclean, then pass over to the land of the possession of Yahweh, in which Yahweh's tent dwells, and take possession among us: but don't rebel against Yahweh, nor rebel against us, in building you an altar besides the altar of Yahweh our God.