Yeremia 5 : 14 Jeremiah chapter 5 verse 14

Swahili English Translation

Yeremia 5:14

Kwa sababu hiyo Bwana, Mungu wa majeshi, asema hivi, Kwa sababu mnasema neno hili, tazama, nitafanya maneno yangu katika kinywa chako kuwa moto, na watu hawa kuwa kuni, nao moto utawala.
soma Mlango wa 5

Jeremiah 5:14

Therefore thus says Yahweh, the God of hosts, Because you speak this word, behold, I will make my words in your mouth fire, and this people wood, and it shall devour them.