Yeremia 37 : 4 Jeremiah chapter 37 verse 4

Swahili English Translation

Yeremia 37:4

Basi Yeremia alikuwa akiingia na kutoka kati ya watu; kwa maana walikuwa hawakumfunga gerezani.
soma Mlango wa 37

Jeremiah 37:4

Now Jeremiah came in and went out among the people; for they had not put him into prison.