Yeremia 37 : 10 Jeremiah chapter 37 verse 10

Swahili English Translation

Yeremia 37:10

Maana mngelipiga jeshi lote la Wakaldayo wanaopigana nanyi, wakabaki kati yao watu waliojeruhiwa tu, hata hivyo wangeondoka kila mtu katika hema yake, na kuuteketeza mji huu.
soma Mlango wa 37

Jeremiah 37:10

For though you had struck the whole army of the Chaldeans who fight against you, and there remained but wounded men among them, yes would they rise up every man in his tent, and burn this city with fire.