Yeremia 33 : 21 Jeremiah chapter 33 verse 21
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 33:21
ndipo agano langu nililolifanya na Daudi, mtumishi wangu, laweza kuvunjika, hata asiwe na mwana wa kumiliki katika kiti chake cha enzi; tena agano langu nililofanya na Walawi makuhani, wahudumu wangu, laweza kuvunjika.
|
Jeremiah 33:21then may also my covenant be broken with David my servant, that he shall not have a son to reign on his throne; and with the Levites the priests, my ministers. |