Yeremia 33 : 18 Jeremiah chapter 33 verse 18

Swahili English Translation

Yeremia 33:18

wala makuhani Walawi hawatakosa kuwa na mtu wa kusimama mbele zangu, na kutoa sadaka za kuteketezwa, na kufukiza matoleo, na kufanya dhabihu daima.
soma Mlango wa 33

Jeremiah 33:18

neither shall the priests the Levites want a man before me to offer burnt offerings, and to burn meal-offerings, and to do sacrifice continually.