Yeremia 31 : 19 Jeremiah chapter 31 verse 19

Swahili English Translation

Yeremia 31:19

Hakika baada ya kugeuzwa kwangu, nalitubu; na baada ya kufundishwa kwangu, nalijipiga pajani; nalitahayarika, naam, nalifadhaika, kwa sababu naliichukua aibu ya ujana wangu.
soma Mlango wa 31

Jeremiah 31:19

Surely after that I was turned, I repented; and after that I was instructed, I struck on my thigh: I was ashamed, yes, even confounded, because I did bear the reproach of my youth.