Yeremia 3 : 3 Jeremiah chapter 3 verse 3

Swahili English Translation

Yeremia 3:3

Kwa sababu hiyo manyunyu yamezuiliwa, wala hapakuwa na mvua ya vuli; hata hivyo ulikuwa na kipaji cha uso cha kahaba, ulikataa kutahayarika.
soma Mlango wa 3

Jeremiah 3:3

Therefore the showers have been withheld, and there has been no latter rain; yet you have a prostitute's forehead, you refused to be ashamed.