Yeremia 25 : 34 Jeremiah chapter 25 verse 34

Swahili English Translation

Yeremia 25:34

Pigeni yowe, enyi wachungaji, na kulia; na kugaagaa katika majivu, enyi mlio hodari katika kundi; maana siku za kuuawa kwenu zimetimia kabisa, nami nitawavunja vipande vipande, nanyi mtaanguka kama chombo cha anasa.
soma Mlango wa 25

Jeremiah 25:34

Wail, you shepherds, and cry; and wallow [in ashes], you principal of the flock; for the days of your slaughter and of your dispersions are fully come, and you shall fall like a goodly vessel.