Yeremia 19 : 11 Jeremiah chapter 19 verse 11

Swahili English Translation

Yeremia 19:11

na kuwaambia, Bwana wa majeshi asema hivi, Hivyo ndivyo nitakavyowavunja watu hawa, na mji huu, kama mtu avunjavyo chombo cha mfinyanzi, kisichoweza kutengenezwa tena na kuwa kizima; nao watazika watu katika Tofethi hata hapatabaki mahali pa kuzika.
soma Mlango wa 19

Jeremiah 19:11

and shall tell them, Thus says Yahweh of Hosts: Even so will I break this people and this city, as one breaks a potter's vessel, that can't be made whole again; and they shall bury in Topheth, until there be no place to bury.