Yeremia 14 : 8 Jeremiah chapter 14 verse 8

Swahili English Translation

Yeremia 14:8

Wewe uliye tumaini la Israeli, wewe uliye Mwokozi wake wakati wa taabu, kwa nini wewe umekuwa kama mtu akaaye katika nchi, hali ya mgeni, na kama mtu mwenye kusafiri, ageukaye upande ili kukaa usiku mmoja tu?
soma Mlango wa 14

Jeremiah 14:8

You hope of Israel, the Savior of it in the time of trouble, why should you be as a foreigner in the land, and as a wayfaring man who turns aside to stay for a night?