Yeremia 14 : 15 Jeremiah chapter 14 verse 15
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 14:15
Basi, kwa hiyo Bwana asema hivi, Kwa habari za manabii wanaotabiri kwa jina langu, wala mimi sikuwatuma, lakini husema, Upanga na njaa havitaingia katika nchi hii; Kwa upanga na njaa manabii hao wataangamizwa.
|
Jeremiah 14:15Therefore thus says Yahweh concerning the prophets who prophesy in my name, and I didn't send them, yet they say, Sword and famine shall not be in this land: By sword and famine shall those prophets be consumed. |