Isaya 19 : 18 Isaiah chapter 19 verse 18

Swahili English Translation

Isaya 19:18

Katika siku hiyo itakuwako miji mitano katika nchi ya Misri itumiayo lugha ya Kanaani, na kumwapia Bwana wa majeshi; mji mmoja utaitwa Mji wa uharibifu.
soma Mlango wa 19

Isaiah 19:18

In that day there shall be five cities in the land of Egypt that speak the language of Canaan, and swear to Yahweh of hosts; one shall be called The city of destruction.