Isaya 19 : 11 Isaiah chapter 19 verse 11

Swahili English Translation

Isaya 19:11

Wakuu wa Soani wamekuwa wapumbavu kabisa; washauri wenye hekima wa Farao, shauri lao limepumbazika; mwawezaje kumwambia Farao, Mimi ni mwana wa wenye hekima, ni mwana wa wafalme wa zamani?
soma Mlango wa 19

Isaiah 19:11

The princes of Zoan are utterly foolish; the counsel of the wisest counselors of Pharaoh is become brutish: how do you say to Pharaoh, I am the son of the wise, the son of ancient kings?