Mwanzo 24 : 32 Genesis chapter 24 verse 32
Swahili | English Translation |
---|---|
Mwanzo 24:32
Na mtu yule akaingia katika nyumba, akawafungua ngamia; naye akatoa majani na malisho kwa ngamia, na maji ya kuoshea miguu yake, na miguu ya watu waliokuwa pamoja naye.
|
Genesis 24:32The man came into the house, and he unloaded the camels. He gave straw and provender for the camels, and water to wash his feet and the feet of the men who were with him. |