Kutoka 18 : 18 Exodus chapter 18 verse 18

Swahili English Translation

Kutoka 18:18

Huna budi utadhoofika wewe, na hawa watu walio pamoja nawe pia; maana jambo hili ni zito mno kwako; huwezi wewe kulitenda peke yako.
soma Mlango wa 18

Exodus 18:18

You will surely wear away, both you, and this people that is with you; for the thing is too heavy for you. You are not able to perform it yourself alone.