Kutoka 16 : 31 Exodus chapter 16 verse 31

Swahili English Translation

Kutoka 16:31

Na nyumba ya Israeli wakakiita jina lake Mana; nacho kilikuwa mfano wa chembe za mtama, nyeupe; na tamu yake ilikuwa kama tamu ya maandazi membamba yaliyoandaliwa kwa asali.
soma Mlango wa 16

Exodus 16:31

The house of Israel called the name of it Manna,{"Mana" means "What is it?"} and it was like coriander seed, white; and its taste was like wafers with honey.