Kutoka 12 : 23 Exodus chapter 12 verse 23

Swahili English Translation

Kutoka 12:23

Kwa kuwa Bwana atapita ili awapige hao Wamisri; na hapo atakapoiona hiyo damu katika kizingiti cha juu, na katika ile miimo miwili, Bwana atapita juu ya mlango, wala hatamwacha mwenye kuharibu aingie nyumbani mwenu kuwapiga ninyi.
soma Mlango wa 12

Exodus 12:23

For Yahweh will pass through to strike the Egyptians; and when he sees the blood on the lintel, and on the two side-posts, Yahweh will pass over the door, and will not allow the destroyer to come in to your houses to strike you.