Matendo ya Mitume 16 : 25 Acts chapter 16 verse 25

Swahili English Translation

Matendo ya Mitume 16:25

Lakini panapo usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.
soma Mlango wa 16

Acts 16:25

But about midnight Paul and Silas were praying and singing hymns to God, and the prisoners were listening to them.