2 Timotheo 4 : 8 2nd Timothy chapter 4 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Timotheo 4:8
baada ya hayo nimewekewa taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake.
|
2nd Timothy 4:8From now on, there is stored up for me the crown of righteousness, which the Lord, the righteous judge, will give to me on that day; and not to me only, but also to all those who have loved his appearing. |