2 Timotheo 4 : 8 2nd Timothy chapter 4 verse 8

Swahili English Translation

2 Timotheo 4:8

baada ya hayo nimewekewa taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake.
soma Mlango wa 4

2nd Timothy 4:8

From now on, there is stored up for me the crown of righteousness, which the Lord, the righteous judge, will give to me on that day; and not to me only, but also to all those who have loved his appearing.