2 Samweli 6 : 3 2nd Samuel chapter 6 verse 3
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Samweli 6:3
Wakaliweka sanduku la Mungu juu ya gari jipya, wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu, iliyoko kilimani; nao Uza na Ahio wana wa Abinadabu wakaliendesha lile gari jipya.
|
2nd Samuel 6:3They set the ark of God on a new cart, and brought it out of the house of Abinadab that was in the hill: and Uzzah and Ahio, the sons of Abinadab, drove the new cart. |