2 Samweli 6 : 3 2nd Samuel chapter 6 verse 3

Swahili English Translation

2 Samweli 6:3

Wakaliweka sanduku la Mungu juu ya gari jipya, wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu, iliyoko kilimani; nao Uza na Ahio wana wa Abinadabu wakaliendesha lile gari jipya.
soma Mlango wa 6

2nd Samuel 6:3

They set the ark of God on a new cart, and brought it out of the house of Abinadab that was in the hill: and Uzzah and Ahio, the sons of Abinadab, drove the new cart.