2 Samweli 6 : 2 2nd Samuel chapter 6 verse 2

Swahili English Translation

2 Samweli 6:2

Akaondoka Daudi akaenda pamoja na watu wote waliokuwa naye, mpaka Baala wa Yuda, ili kulipandisha kutoka huko sanduku la Mungu lililoitwa kwa jina, naam, jina la Bwana wa majeshi akaaye juu ya makerubi.
soma Mlango wa 6

2nd Samuel 6:2

David arose, and went with all the people who were with him, from Baale Judah, to bring up from there the ark of God, which is called by the Name, even the name of Yahweh of Hosts who sits [above] the cherubim.