2 Samweli 23 : 9 2nd Samuel chapter 23 verse 9

Swahili English Translation

2 Samweli 23:9

Na baada yake kulikuwa na Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu waliokuwa pamoja na Daudi; walipowatukana Wafilisti waliokuwa wamekusanyika huko ili kupigana, na watu wa Israeli walikuwa wamekwenda zao;
soma Mlango wa 23

2nd Samuel 23:9

After him was Eleazar the son of Dodai the son of an Ahohite, one of the three mighty men with David, when they defied the Philistines who were there gathered together to battle, and the men of Israel were gone away.