2 Samweli 23 : 22 2nd Samuel chapter 23 verse 22
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Samweli 23:22
Hayo ndiyo aliyoyafanya Benaya, mwana wa Yehoyada, akawa na jina kati ya wale mashujaa watatu.
|
2nd Samuel 23:22These things did Benaiah the son of Jehoiada, and had a name among the three mighty men. |