2 Samweli 21 : 7 2nd Samuel chapter 21 verse 7

Swahili English Translation

2 Samweli 21:7

Lakini mfalme akamwachilia Mefiboshethi, mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa ajili ya kiapo cha Bwana kilichokuwa kati yao, yaani, kati ya Daudi na Yonathani, mwana wa Sauli.
soma Mlango wa 21

2nd Samuel 21:7

But the king spared Mephibosheth, the son of Jonathan the son of Saul, because of Yahweh's oath that was between them, between David and Jonathan the son of Saul.