2 Samweli 21 : 17 2nd Samuel chapter 21 verse 17

Swahili English Translation

2 Samweli 21:17

Lakini Abishai, mwana wa Seruya, akamsaidia, akampiga Mfilisti, akamwua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, wakasema, Wewe hutatoka tena pamoja nasi kwenda vitani, usije ukaizima taa ya Israeli.
soma Mlango wa 21

2nd Samuel 21:17

But Abishai the son of Zeruiah helped him, and struck the Philistine, and killed him. Then the men of David swore to him, saying, You shall go no more out with us to battle, that you don't quench the lamp of Israel.