2 Samweli 21 : 12 2nd Samuel chapter 21 verse 12

Swahili English Translation

2 Samweli 21:12

Akaenda Daudi, akaitwaa mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonathani mwanawe mikononi mwa watu wa Yabesh-gileadi; waliyoiiba katika njia ya Bethshani, hapo Wafilisti walipowatungika, katika siku hiyo waliyomwua Sauli huko Gilboa;
soma Mlango wa 21

2nd Samuel 21:12

David went and took the bones of Saul and the bones of Jonathan his son from the men of Jabesh Gilead, who had stolen them from the street of Beth-shan, where the Philistines had hanged them, in the day that the Philistines killed Saul in Gilboa;