2 Samweli 21 : 1 2nd Samuel chapter 21 verse 1

Swahili English Translation

2 Samweli 21:1

Kulikuwa na njaa siku za Daudi muda wa miaka mitatu, mwaka kwa mwaka; naye Daudi akautafuta uso wa Bwana. Bwana akasema, Ni kwa ajili ya Sauli, na kwa nyumba yake yenye damu, kwa kuwa aliwaua hao Wagibeoni.
soma Mlango wa 21

2nd Samuel 21:1

There was a famine in the days of David three years, year after year; and David sought the face of Yahweh. Yahweh said, It is for Saul, and for his bloody house, because he put to death the Gibeonites.