2 Samweli 19 : 11 2nd Samuel chapter 19 verse 11

Swahili English Translation

2 Samweli 19:11

Naye mfalme Daudi akatuma kwa Sadoki na Abiathari, makuhani, kusema, Neneni na wazee wa Yuda, mkisema, Kwa nini ninyi mmekuwa wa mwisho wa kumrudisha tena mfalme nyumbani kwake? Kwa maana maneno ya Israeli wote yamemjia mfalme, ili kumleta nyumbani kwake.
soma Mlango wa 19

2nd Samuel 19:11

King David sent to Zadok and to Abiathar the priests, saying, Speak to the elders of Judah, saying, Why are you the last to bring the king back to his house? seeing the speech of all Israel is come to the king, [to bring him] to his house.