2 Samweli 12 : 17 2nd Samuel chapter 12 verse 17

Swahili English Translation

2 Samweli 12:17

Nao wazee wa nyumba yake wakaondoka, wakasimama karibu naye, ili wamwinue katika nchi; lakini hakukubali, wala hakula chakula pamoja nao.
soma Mlango wa 12

2nd Samuel 12:17

The elders of his house arose, [and stood] beside him, to raise him up from the earth: but he would not, neither did he eat bread with them.