2 Wafalme 6 : 5 2nd Kings chapter 6 verse 5

Swahili English Translation

2 Wafalme 6:5

Lakini mmojawapo alipokuwa katika kukata boriti, chuma cha shoka kikaanguka majini; akalia, akasema, Ole wangu! Bwana wangu, kwani kiliazimiwa kile.
soma Mlango wa 6

2nd Kings 6:5

But as one was felling a beam, the axe head fell into the water; and he cried, and said, Alas, my master! for it was borrowed.