2 Wafalme 6 : 12 2nd Kings chapter 6 verse 12

Swahili English Translation

2 Wafalme 6:12

Mmojawapo wa watumishi wake akasema, La, bwana wangu, mfalme; lakini Elisha, yule nabii aliye katika Israeli, humwambia mfalme wa Israeli maneno uyanenayo katika chumba chako cha kulala.
soma Mlango wa 6

2nd Kings 6:12

One of his servants said, No, my lord, O king; but Elisha, the prophet who is in Israel, tells the king of Israel the words that you speak in your bedchamber.